Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hahaha hahaha hahaha
Hebu hukooo....
Mie naomba zawadi yangu jamani, niko serious ujue!
Hahaha hahaha hahaha
Hahaha hahahaUsiniambie unaikana gari yako dada unataka kusema ni uber
Dharau zake nishazizoea mieAnakuchulia wa kutoka ngaramtoni eenh
Hahaha hahaha hahahaHahaha mazawadi na mahela we kweli ni chizi wangu
Hiyo Ngaramtoni vipi kwani ?Anakuchulia wa kutoka ngaramtoni eenh
Liko kwa Vehicle carrier from Yokohama..siku ya 5 leo baharini.Hahaha hahaha hahaha
Hebu hukooo....
Mie naomba zawadi yangu jamani, niko serious ujue!
Kama kweli vileeeLiko kwa Vehicle carrier from Yokohama..siku ya 5 leo baharini.
Najua unapenda magari zenye speedView attachment 1063113
Engine size 1990ccKama kweli vileee
Hebu acha kunirusha roho basi!Engine size 1990cc
Walahi...Hebu acha kunirusha roho basi!
WoyoooooooWalahi...
45,500KM , Production Year : 2006
Colour ; Black
Leather Seat.
Hiyo colour tuu mie hoooiiiiiiWalahi...
45,500KM , Production Year : 2006
Colour ; Black
Leather Seat.
Arrival in DSM port; May 10, 2019Woyooooooo
Inafika lini eti!
DuuuhhArrival in DSM port; May 10, 2019
Time ; 17: 45 UTC
Yaani napata tabu saaaana jamanii! Lazima nikufwe etiHahahaa! Kwanini ufe.?![]()
Nimekumbuka mbali....Duuuhh
Mwezi mzima si nakufwa na kihoro?!



Sasa nani ataliendesha..?Yaani napata tabu saaaana jamanii! Lazima nikufwe eti


UmeonaeeeeNimekumbuka mbali....
The first time naagiza gari...
Kila siku nilikuwa natrack meli imefika wapi? Yaaani usingizi hauji kabisa mazee..
Hebu liwahi kidogo tuu jamaniSasa nani ataliendesha..?![]()