Makapuku Forum

Binamu jana nimechagua nyimbo umenipotezea nachagua tena leo

Naomba ifunanya ya marioo

...nimekusikia na kukusoma hapo juu ukijiimbia kumbe ndo hili songi, sisi vijana wenye mambo ya kizee mnatuchanganya.

Hili hapa sasa songi lako, furahia na kwa vile leo unajihisi uko mwenyewe duniani basi huhitaji kuwa na hela, nirushie mpunga kidogo

 
Woooow

Asante binamu yangu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…