Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Kimtaani taani tena jamani



Kimtaani taani tena jamani



Hahaha najua bwana na wakati ww unaishi shamba uko mvua inaponyesha
Jamani nimeisikiliza leoOttu Jazz Band -Lucy Bandawe![]()
Kwa hyo ile shangazi tuiweke huku sioJe wajua na shunie shunie kibonge


Haha na ww ni mzee kama mimi hapa??maana zenu ni hizi za kina MbossoJamani nimeisikiliza leo
We baba wawili mm nasikiliza radio one na tbc fm ujue mm sio mwenzio watoto wa juzi nyie mnasikiliza planet bongo na xxlHaha na ww ni mzee kama mimi hapa??maana zenu ni hizi za kina Mbosso
Hahahha sawa sawa mhenga kijanaWe baba wawili mm nasikiliza radio one na tbc fm ujue mm sio mwenzio watoto wa juzi nyie mnasikiliza planet bongo na xxl