Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Jamani natamani na mm ningeona ukiona tena uniambe niangalie na mmwiki mbili zilizopita nimecheki documentary ya huyu samaki chanel ya NAT GEO WILD wana kpindi kinaitwa monster fish
Jamani natamani na mm ningeona ukiona tena uniambe niangalie na mmwiki mbili zilizopita nimecheki documentary ya huyu samaki chanel ya NAT GEO WILD wana kpindi kinaitwa monster fish
sawaaa insta babe.... walimkamata wakamtoa nje wakawa wanapima anazalisha volts ngapi za umeme wakakuta ni umeme mara 5 ya ule unaotumika kwenye hizi socket za majumbaniJamani natamani na mm ningeona ukiona tena uniambe niangalie na mm

tupo wote hapahapa kwa makonda insta babeHahahha kwako mvua inanyesha kwetu hakuna mjini si utakua unaishi shamba uko insta babe



sawaaa insta babe.... walimkamata wakamtoa nje wakawa wanapima anazalisha volts ngapi za umeme wakakuta ni umeme mara 5 ya ule unaotumika kwenye hizi socket za majumbani
then wakaonyesha aligator (vile vimamba vidogo vya marekani) kilitaka kumla akapigwa shoti hadi akafa
then wakati wanarekodi camera man alikula shot hadi wakaktisha kipindi kwa muda
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ww made usikute umetekwa uko na mrembo unasingizia ugimbi

Hahahah ndio binamu,karbu Nyasa...binamu vipi, umetoka Tanga umeenda Nyasa
Aiseeesawaaa insta babe.... walimkamata wakamtoa nje wakawa wanapima anazalisha volts ngapi za umeme wakakuta ni umeme mara 5 ya ule unaotumika kwenye hizi socket za majumbani
then wakaonyesha aligator (vile vimamba vidogo vya marekani) kilitaka kumla akapigwa shoti hadi akafa
then wakati wanarekodi camera man alikula shot hadi wakaktisha kipindi kwa muda
Sent using Jamii Forums mobile app




sawa kwa makonda lakini utakua unaishi shamba insta babe wangu
Duh...hapa yupo kwenye aquarium, wameweka vibati viwili karibu na kioo, ukivigusa unapigwa shoti
View attachment 1046528
Mm nataka kukuteka we mzeeHahahaha, mie siwezi kutekwa ,pia sina sifa za kutekwa na murembo yoyote
Natekwa na ugimbi/gambe tuuuu
MTC | 101|![]()
Karibu we binti
AiseeeNimebadili Picha.
- Picha ya awali [ Imedumu kwa miaka kadhaa ]
View attachment 1046589
- Picha ya sasa
View attachment 1046590
Muonekano mpya
View attachment 1046591
Kwa muda mrefu nilikuwa nikitafuta picha sahihi, ya kuitumia kama avata yangu, hatimaye leo hii picha ya Maxence Melo ndio imekuwa bora zaidi.
Baba wawili huyoHahahah ndio binamu,karbu Nyasa
Nipo shunie,,habar ya weekendBaba wawili huyo
Mm nataka kukuteka we mzee

Upo mkuu?
Salama Mary,,za kutekwa?