Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamani natamani na mm ningeona ukiona tena uniambe niangalie na mm
sawaaa insta babe.... walimkamata wakamtoa nje wakawa wanapima anazalisha volts ngapi za umeme wakakuta ni umeme mara 5 ya ule unaotumika kwenye hizi socket za majumbani

then wakaonyesha aligator (vile vimamba vidogo vya marekani) kilitaka kumla akapigwa shoti hadi akafa

then wakati wanarekodi camera man alikula shot hadi wakaktisha kipindi kwa muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sawaaa insta babe.... walimkamata wakamtoa nje wakawa wanapima anazalisha volts ngapi za umeme wakakuta ni umeme mara 5 ya ule unaotumika kwenye hizi socket za majumbani

then wakaonyesha aligator (vile vimamba vidogo vya marekani) kilitaka kumla akapigwa shoti hadi akafa

then wakati wanarekodi camera man alikula shot hadi wakaktisha kipindi kwa muda

Sent using Jamii Forums mobile app

...hapa yupo kwenye aquarium, wameweka vibati viwili karibu na kioo, ukivigusa unapigwa shoti

Aquatour .jpg
 
sawaaa insta babe.... walimkamata wakamtoa nje wakawa wanapima anazalisha volts ngapi za umeme wakakuta ni umeme mara 5 ya ule unaotumika kwenye hizi socket za majumbani

then wakaonyesha aligator (vile vimamba vidogo vya marekani) kilitaka kumla akapigwa shoti hadi akafa

then wakati wanarekodi camera man alikula shot hadi wakaktisha kipindi kwa muda

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee
Uwe unaniambia niweke na mm niangalie insta babe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom