Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Watu mnapenda ukubwa.... Asa huo ushangazi mbona siuelewiJe wajua inakujia na shunie shunie shangaziii
KhaaaaKiranja wa makapuku ni huyu baba wawili ningendako na Sakayo
Ndo maana wanaume wengine wana tabia za kike
Hivi ni kweli kuna mstari shangazi
Tumekumiss pia mpandishwa cheoHamjambo wapendwa
Nmewamiss mno
Watu mnapenda ukubwa.... Asa huo ushangazi mbona siuelewi





Bwana mm ndio jina nililopewa humu
Ebu muelekezeni mbaba wa watuKhaaaa
Asante kwa utambulisho shangazKiranja wa makapuku ni huyu baba wawili ningendako na Sakayo
Shikamoo mdogo wngu
Heh kumbe,,safi sana hii
Jaman hahahTumekumiss pia mpandishwa cheo
We ndo umesema ujue je wajua zako
Umeuonajeee
Kufanya niniEbu muelekezeni mbaba wa watu
Nani alikupa etiBwana mm ndio jina nililopewa humu