Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kweli binamu, wakati pombe huleta ujasiri, fursana motto ni dawa ya deni kukopa.
Happy furahiday binamu. Mambo yanaenda lakini?

....nipo hapa mjini, nimemsindikiza abiria mmoja kaja kuosha nywele
Hahaha ni kweli kabsa binamu,,mimi mzima kabsa
Happy furahiday na kwako pia binamu,,,et umemsindikiza kuja kuosha macho au ndio tyl umeshaanza mawindo jinsi ya kumpata sepenga
 
....wakati mbunge wetu wa vitu maalum CCM akisema kuwa ufungwe mtambo wa kuwatambua wabunge weneye magovi, hii ndo jumuiya ya EAC, waziri huko Uganda kasema wanawake wenye misambwanda wanaweza kuwa ni moja ya kivutio cha utalii. Fikara za viongozi wetu wanazijua wanaowateua. Nadhani hii i mwendelezo wa Miss Bantu

afp_1d54i7-e1549642510346.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom