Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,245
- 90,421
Nipo shangazi, mie siwezi kutekwa labda jimama la kicongo linifungie ndani,Hivi huyu mzee mtu chake bado tu hajaonekana huko Congo au wamemteka jamani
Tulikua busy na uchaguzi sasa tuko busy na kesi ya uchaguzi, kisha tuwe busy na kumuapisha Rais mteule, kisha busy kuunda baraza la mawazi
Mambo vipi lkn
Sent using Jamii Forums mobile app

