Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Rafiki kuna kitu nataka kutoka kwako,tamuuuuuuuuuu!



Rafiki kuna kitu nataka kutoka kwako,tamuuuuuuuuuu!






Rafiki kuna kitu nataka kutoka kwako,tamuuuuuuuuuu!![]()
Hivi bado ABJ hajafika.?...malizia, mimi ankesha hapa leo namsubiri ABJ aamke nimwambie neno zuri sana kwa ajili ya kuuanza mwezi huu kwa amani na furaha
Nitalia hadi nipewe tamuuuuuuuuuuu!




Nitalia hadi nipewe tamuuuuuuuuuuu!![]()
Shangazi hana tamuuuuu!Baaaasi.shangazi yako anakuja mda si mrefu anakuletea tamu mtt wake mzuri eenh, .
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

Shangazi hana tamuuuuu!
Huyo alievaa shati la kijani ni nani vile?Kumbe utaipata wapi ss.?
Alafu drimu laina inatafutwa huko imeonekana na nyama ya mbuzi
Sent using Jamii Forums mobile app


Mmmh!!!...malizia, mimi ankesha hapa leo namsubiri ABJ aamke nimwambie neno zuri sana kwa ajili ya kuuanza mwezi huu kwa amani na furaha
Husna wangu mwenyewe, umeamka salama mama!?
Yuko poa pia
Unaitafuta wapi ?Habari
Kwa wale mliopo kwenye mastori
Natafuta season ya mwisho ya I DID TO SAVE PRESIDENT
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mdau. Koroshow sasa hivi ukienda kudai utasema unaenda vitani maana wanajeshi wamevaa gwanda kabisa wanakuuliza cheti cha uhakiki hata kama jina wanalo. Me bado wamesema watahakiki upya maana nimeuza kilo nyingi sana wanadhani labda mimi ni mzee wa kangomba kumbe wala, nalima kisasa
shikamoo binamuHusna wangu mwenyewe, umeamka salama mama!?
Usione kimya simu sikuwa nayo Mimi

Njema za ww dearHabarini makapuku wenzangu
Hii ni kamata mwizi menHusna wangu mwenyewe, umeamka salama mama!?
Usione kimya simu sikuwa nayo Mimi