marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Eeh,kz kwako ss uendelee kumwita shangazi au rafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!Kumbeee??!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!Kumbeee??!


Wewe ni chizi la kike walahi!


umenichoka rafiki yako.
Wewe ni chizi la kike walahi!
Rafiki don't leave me please, i have nowhere to go!umenichoka rafiki yako.
Ngoja nilale mie niwahi namba kesho kuwa na usk mwema na mbebezi wako mkumbatie vyema![]()
Sent using Jamii Forums mobile app



Rafiki don't leave me please, i have nowhere to go!![]()




una undungu na pilipili mc
Asante sana mdau. Koroshow sasa hivi ukienda kudai utasema unaenda vitani maana wanajeshi wamevaa gwanda kabisa wanakuuliza cheti cha uhakiki hata kama jina wanalo. Me bado wamesema watahakiki upya maana nimeuza kilo nyingi sana wanadhani labda mimi ni mzee wa kangomba kumbe wala, nalima kisasa


hivi vilio vya watu wazima wanasemaga ni uchuro
Rafiki don't leave me please, i have nowhere to go!![]()
Wana hasira za kubangua kwa meno
We endelea kuvuta subra mijihela yaja.
Sent using Jamii Forums mobile app

Tuwe na wiki njema wadau, wiki nzuri kabisa kwa sababu shule zimefunguliwa na barua ya mwalimu mkuu kwa mzazi inataka mtoto aripoti shuleni na bank slip kwamba umelipa ada nzima

..amemkumbuka shangazi yke jmn
...afu mtu mzima mwanaume, ila kama anakulilia wewe basi simlaumu. Ana moyo wa nyama



kwakua mie nnakua ndo boss wao kwa wakati huo lzm niongee kimasai kwa mbwembwe kbs na lzm watafute mtafsiri kwa gharama zao.
...acha tu, shule zenyewe zinaitwa ingilishi midiamu, hata kuwapiga kiswahili unashindwa maana ni speak ingilishi mwanzo mwisho, watakuvisha liswahili speaker bure😛😛😛😛
kwakua mie nnakua ndo boss wao kwa wakati huo lzm niongee kimasai kwa mbwembwe kbs na lzm watafute mtafsiri kwa gharama zao.
Sent using Jamii Forums mobile app



kwamba ongea yote fanya yote lkn bank slip ndo muhimu??...ha hahahaha, hata kama utaongea Kibarbaig kama hauna bank slip utakutana na mhazina toka Kenya au India, lugha gongana utasikia anakuambia veve mama yoyoyoo iko nalipa mbesa ndo toto yako Naitapuaki itaingia class
kwamba ongea yote fanya yote lkn bank slip ndo muhimu??
Ngoja nimalizie usingizi kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app