Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
TumekumisiiiiiiNiko hapa kuna mpya gani
TumekumisiiiiiiNiko hapa kuna mpya gani
Marhaba dada ake,,kwema huko??kina anko hawajamboShikamoo kaka angu
Mkuu niajeTumekumisiiiiii
Tuankupenda pia shangazi,,kwema?Nawatakia maandalizi mema ya xmass na mwaka mpya nawapendaa![]()
Kwa upande wangu mambo yapo mazuri sanaSafi, mambo yakoje kwenye masaa haya machache kuelekea sherehe ya kuzaliwa kwake Masia mwana wa Mariam na baadaye wiki moja kuumaliza mwaka?
Kwema baba wawili jamani unaendeleajeTuankupenda pia shangazi,,kwema?
Nimewamiss pia jamaniTumekumisiiiiii
Naendelea vyema shangazi yangu,,Kwema baba wawili jamani unaendeleaje


Nitajialika kuja kula Pilau ya SikukuuKwa upande wangu mambo yapo mazuri sana





Unataka mwaliko eenh baba wawili ukuje basi jamaniNaendelea vyema shangazi yangu,,
Shangaz mwaliko vp sasa??![]()
Ukuje tuNitajialika kuja kula Pilau ya Sikukuu![]()
Nmeona kmya,,imebd nijiongeze wallahUnataka mwaliko eenh baba wawili ukuje basi jamani
Hahhahahha we ukuje achana na ya kujiongezaNmeona kmya,,imebd nijiongeze wallah
Ujue Dada nilikuwa na zawadi yako hadi nishaghairi sasa. 😜Je wajua inakujia na shunie shunie shangaziiiiiii