Ha ha haa umekomesha apo au labda alitaka ujiteue ha ha haaaHao achana nao tumosa alivyosema nikupe teuzi alijua nitakupa nani mm
Ha ha haa umekomesha apo au labda alitaka ujiteue ha ha haaa
Ha ha haaaSijamuelewa tumosa mm alivyokazania nikupe teuzi
Hahahaha
Hivi hizi 'teuzi' na "tenguzi' huwa zinahusu nn hasa
Ha ha haaa
Sasa hao wanaopinga kuna nini kwani?
AseeMimi na wewe ni majirani haina maana kunyimana
Asee
Hahahahahahahaah wakatiii binamu alikuwa tayarii ashaingiaa chimbo ila bora imeishaa salama japo umemsakiziaa mjomba wako ila sio mbaya ...uzuriii umetulipiaa biliDah,,kumbe ni ww ndio ulimstua,,sema leo katulia hata sijaamin kama angelianzisha ,,maana balaa lake huwa sio la nchi hii,,,wale wa pale kaunta walikuwa wa binamu yangu Obe nilikuwa namuwekea mazingira mazur il akifika abebe mzgo tu
Ww nae kiboko mjomba dah
Shunie lukaku amekukoseshaaa biaaaaa...ila man u nyieNini jamani
Wale walikuwa u 17 mechii keshoNiko hapa mm naumwa jamani mkiniletea habari za matokeo nazidi kuzidiwa
Hahahaha, twanga pepeta hy au?Vipii jamani we mzee hiyo nyimbo unataka kusema huijui
AnakujaJIWEEEEEEEE
Hahahahahahahah janjarooooSiku nzima wapiii na we unakuja kwa kubeep tu ndio mana mary anakuita dogo