Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nini bwana acha visingizio vya lukaku kama unataka kunipa nipe tu
Shunie lukaku amekukoseshaaa biaaaaa...ila man u nyie
Shunie lukaku amekukoseshaaa biaaaaa...ila man u nyie
Tumosa si ana mapacha au ashakuwa single mazaaHakuna cha kupaa wala nn alitaka nimpe manga teuzi nampa teuzi gani sasa acha apambane na hali yake
Wale walikuwa u 17 mechii kesho
Ukoo na huyu ndo kiboko bora ya binamuWameshakuharibu baba wawili masikini ulikuwa haupo hivi
Hahahaha, twanga pepeta hy au?
Nmeonaaa tutafanyajeeUmeona mjomba hahaha
Hahahahahahahah janjaroooo
Tumosa si ana mapacha au ashakuwa single mazaa
Mama la mama mama mwenye maupendo kama yoteeeee ...mama shangaziii wa kapukuu jiwee mfanya teuziii nakusalimiaaaMniache kidogo na mambo ya matokeo jamani
Mzeee wetu bado machoHahahaha asee
Ukoo na huyu ndo kiboko bora ya binamu
Mama la mama mama mwenye maupendo kama yoteeeee ...mama shangaziii wa kapukuu jiwee mfanya teuziii nakusalimiaaa
Shangaziii etiii anko leo hayupoo au haupo wewe nyumban ?Jirani yako ni kama ndg yako
Hahahaha, nawajua sana ,enzi za mango garden ( nasikia imevunjwa) na lidaz clubNdiwooo twanga pepeta sugu kumbe unaijua we mzee
Usikuu huu kuna kuulizana tena ?Wahusika watakuja kukujibu mkuje kumjibu huyu mzee kijana anataka kujua
Unataka nn eti hayo maswali kama anko yupo au hayupoShangaziii etiii anko leo hayupoo au haupo wewe nyumban ?
Nna mashaka na uzee wakeeVipii jamani we mzee hiyo nyimbo unataka kusema huijui
Eeeh bana ,nilikua nawatazama Liverpool timu yetu wazee sasa kdg napata mbili tatu nilaleMzeee wetu bado macho
Ewaaaa kumbe unawajua kwani we haupo dar eenh mango garden utapasahau sasa kuna uwanja sijui wanajenga nnHahahaha, nawajua sana ,enzi za mango garden ( nasikia imevunjwa) na lidaz club