Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uacheee tabia yako sasa
Uacheee tabia yako sasa
ipi mkuu?![]()
Am sorry,Sakayo ni dada yangu mkuu!Kusumbua watoto wazuriii warembo kama sakayo eti uteuliweee
Wewe kama ulimtamani shangazii yako jiwe sembuse dadaAm sorry,Sakayo ni dada yangu mkuu!


Mambo?Yeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeeeee mama leo umeniotaaa ...
Kwa haya mabusuuuuu sitakiiii mchepukoo tena na marybaby nikomeeee
Hivi mkuu lini utaacha ramli chonganishi!Umelaaniwa??!Wewe kama ulimtamani shangazii yako jiwe sembuse dada
Just warning mkuu
Habariyo?!hahahaha dogo jiangalie,ila nakupenda mimi
Tumosa mpendwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sema suui
Wooooooozaaaaaaaaa mwenye nyumba katingaaaMambo?
Hahahahahaja sema ukwelHivi mkuu lini utaacha ramli chonganishi!Umelaaniwa??!
Hahahaa baba wawili bwana
u mean this shululu?!!!Woooow!!!!!..novida ni nini? Bia mpya?
...na mimi anko kipenzi nimekuona na asante sana kwa ushauri wako, nimeuzingatia sana, Hii busara uliyonipa hadi nashangaa inakuwaje huwa unafumaniwa sasa au ndo mganga hajigangi

...aisee, kumbe walokole ni walevi hivi, wanakunywa novida wanalewa halafu hatuambiani!!! Hii sio haki kabisa, hebu nielekeze hilo kanisa niende fasa, na kama kuna mkesha na wanakwaya wapo

Woooow!!!!!