Iliombwa mapema sana bila kujua j3 ni mambo matatu matatu. Kwako marybaby , umebadili avatar umenichanganya. Umededicate huu wimbo kwa anko wangu Lyon Lee mzeenyumbanyingi
Nafurahi umeupenda na nilijua tu umededicate kwa huyu anko wangu kocha wa lombalomba fc, hii ni timu iko Mbezi yeye ndo mfadhiri, kocha, kaputeni na wakati mwingine huwa nakuwa ni refa au shabiki
Nafurahi umeupenda na nilijua tu umededicate kwa huyu anko wangu kocha wa lombalomba fc, hii ni timu iko Mbezi yeye ndo mfadhiri, kocha, kaputeni na wakati mwingine huwa nakuwa ni refa au shabiki