Oooh basi amani....Nipo kama unavonionaaa
Wakatiii mmeuzaa korosho na hamjanilipaa mtajii wangu


mjini hapa usimuamin kila mtu hata huyo binamu yako
Lakin ulishasemaa unampendaa na ubahili wakemjini hapa usimuamin kila mtu hata huyo binamu yako
Mi mwenyewe hajanipa hata mia
Hahahahh sasa nimuombe ili nionekane Kama dada poa
Yap nampenda hivohivoHuyu si alisema anampendaa na ubahili wake
Pambaanaa na haliii yakoooYap nampenda hivohivo