Umoja wa Afrika umekiri kuwa rushwa ya ngono ni tatizo sugu kwa wale wanaotafuta ajira katika shirika hilo la kimataifa.
Mwenyekiti wa umoja huo Moussa Faki amesema uchunguzi wa ndani umebaini asilimia kubwa ya walioathirika ni wanawake wanaotafuta nafasi za kazi za muda.
View attachment 945513