Binamu wewe acha ..mambo si mambo wazee wa kazi wanazunguka kila kona ...ukiuzaa shida make returns zao watatufunga
Wanarudishaaa wapiii ...ila mwaka huu na mm ntawafanyiaa faulu make nawadaiii z kutoshaa ila kuna mzigo ntauclear mwezi ujao lazima nipasiooo huko hukoo...na hivi walishawahi kukurudishia kodi uliyozidisha? Utaratibu mbovu kabisa, wanajua kuchukua tu ila kurudisha hakuna, na mbaya zaidi kodi bila huduma ni wizi uliosahaulika
Wanarudishaaa wapiii ...ila mwaka huu na mm ntawafanyiaa faulu make nawadaiii z kutoshaa ila kuna mzigo ntauclear mwezi ujao lazima nipasiooo huko hukoo
..good luck katika hili, ila inabidi ukae na mtu wa kodi chini aangalie namna ya kukusaidia maana jamaa hawapendi kabisa kurudisha, wanachojua wao ni kuchukua tu kutoka kwako, to them its a one way traffic and hii sio afya kwako mlipakodi na mdau wa kodi. anyway, najua utaweza kufanya na kupata kilicho halali yako japo kwa tabu sana
Nishajaribu na wao wanaliaa njaa ...anko tulalee kesho nikumbushee nikwambiw nimetumwa nini mama mama zuhura
zingatia kuyafuta bila shuruti...pole dear. ukilimi mimi machozi yananitoka
....burudika kwa sababu wewe ni mtu poa sana na ninakuzimia na naamini unalijua hilo, huhitaji la kichina, jaladia maana ukichojoa hatuangalii tunaangalia kipochi
Unaitwa BAKITA...nimeshaupandisha, na fyi wowowo inaangalia nje akiwa na nguo/dela lakini akichojoa mwanaume haangalii wowowo maana sio unayoilomba.
Mniwie radhi, najifunza kiswahili bado sijajua kutofautisha L na T
Unahitaji msaada sio kwa round hiyo...nipo kamili kabisa na mchana mzima nilikuwa A-town natafuta kubadilisha hela zangu za korosho kwenda kwenye dola lakini wajeda wametanza kwenye maduka sasa inabidi nije Dar, wakazi wa dar jiandaeni kunipokea, msafara utaanzia kituo cha mabasi ubungo hadi eapoti kuna byurodichenji hapo nabadili naenda mbagala kisha nachukua mabasi ya South tayari kwa kurudi Mtwara
Good Morning beautiful people.
Linanikata kbs yaani rafiki
Hahaha...watu wanadhani huwa tunatania tukisema sisi ni ndugu, hawajui sasa kuwaonesha kuwa sisi ni ndugu hebu niunganishe na Moneytalk maana kuzuri unakula na ndugu, kibaya sumu unakula peke yako ufe tule msibani
Sasa weww ndo unawezaa kuwa sample ya human transformation inaweza kuanziaa kwakoo yaan baada ya kupendaa churaa utapendaa takooo
Morning..!krb mzikiGood Morning beautiful people.