Lkn usizidishe ukachelewa kwenda kwa shangaziHahahaha, Mjomba khs mm na hii kitu ondoa shaka,shangazi mwenyewe ananijua
Lkn usizidishe ukachelewa kwenda kwa shangazi
Hhhh ahsante angalau umeweza ku imagine.nimeimagine hayo mnayokutana nayo.poleni sn wanaume mmeumbwa mateso
Kabisa rafiki, siyo kwa kutoka sexy kule! Yakianza kushuka tutarudi tena China tukafanye repairment rafiki!
Mi bado mdogo ujue,?Hhhh ahsante angalau umeweza ku imagine.
Hem niambie japo moja kati ya mateso tunayopitia
Kwa hiyo umeonaa naongezaa kitambii kwa makopaa na kufaidii sana ?
Na uzur yatatokaa puani
Hhhh ahsante angalau umeweza ku imagine.
Hem niambie japo moja kati ya mateso tunayopitia
sijawahi ona urafiki huu,nalia mimi
Kwamba Mary wowowo, ?
wakati wa kwenda mbona matangazo yalikuwa mengo,kurudi mnafanya kimyakimya mbona
Sijakuelewa mkuu! Sasa mimi nimeletewa mazawadi ya makopa ina maana nisipokee??!Kwa hiyo umeonaa naongezaa kitambii kwa makopaa na kufaidii sana ?
Unempata wapi