Makapuku Forum

Taarifa mbaya kwenu na nzurii kwangu kuhusu binamu Obe ..jana alilewaa na mke qa mtu mchepuko wake mpaka leo hajulikani yuko wapi


..nilikuwa Lesotho anko, sijatekwa na wala yule hakuwa mke wa mtu, alikuwa tayari katalikiwa ila kocha wa Starz pumbavu sana, nisingefumaniwa kama tungeshinda japo matatu.
Mzima lakini
 
..nilikuwa Lesotho anko, sijatekwa na wala yule hakuwa mke wa mtu, alikuwa tayari katalikiwa ila kocha wa Starz pumbavu sana, nisingefumaniwa kama tungeshinda japo matatu.
Mzima lakini
Binamu uongo umejifunza liniii.....

Kochaa ni mpumbavuu haswaaaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…