Eeeh...Dudu tena
Woiiii konk konk konk master
Ndo alifungiwa bunju nn?
Nakupeleka nyegezi tuu...sasa hapo ndiyo umemtaja mtu mwenyewe mkuu? Au lengo lako ni kunipeleka Nyegezi bila sababu?
Mama D rudi..Dudu tena
Woiiii konk konk konk master
Bora umekuja binamu, yaani nimechafuliwa jina hata sabuni ya fomagold haiwezi kunitakatisha. Sasa wewe ndo ndugu yangu pekee humu unayeweza kunisaidia , wengine wameniambia nipambane na hali yangu.ww ndo mbaya wa binamu
sasa hapo ndiyo umemtaja mtu mwenyewe mkuu? Au lengo lako ni kunipeleka Nyegezi bila sababu?
Nimeupata ule wimbo wa Nyegezi, YouTube waliuondoaBinamu ni nini hiki kabla sijadownload?
Wimbo mzuri sana wa kuombea game..Nimeupata ule wimbo wa Nyegezi, YouTube waliuondoa
Hivi beer za shunie mlikubaliana man ikipigwa ndio unampa beer?Unafikiriii chura ipo ?
Hivi beer za shunie mlikubaliana man ikipigwa ndio unampa beer?
Manake naona man city wanatubamiza tuu
Man u si kafunga ?Man u akifunga au draw ...anazikosaaa nachekaaa kibishooo
Tumosa, post: 29161424, member: 376902Mara hyo
Man u si kafunga ?
So mpe beer zake
Tumosa, post: 29161424, member: 376902Mara hyo
Mwanaume huwa halalamiki we umekuta watu waquote uone kama hawatakujibu shinda humu siku nzima uone raha yake