Makapuku Forum

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ww ndo mbaya wa binamu
Bora umekuja binamu, yaani nimechafuliwa jina hata sabuni ya fomagold haiwezi kunitakatisha. Sasa wewe ndo ndugu yangu pekee humu unayeweza kunisaidia , wengine wameniambia nipambane na hali yangu.

Nikiuza korosho tu, wewe ni wa kwanza kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…