Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,745
- 8,222
Cha kupanga mzeeHotel au cha kupanga
Cha kupanga mzeeHotel au cha kupanga
Sawa mkuuCha kupanga mzee
Huyu mwongo mbona hajanitafuta nipo hapa sido jirani kabisa na mwakimomo store


soweto mitaa ya mwambene hapo kwa fwas unapata room linafikika kwa bajaj hadi mlangoni Full lamiMitaa yako ya kazi au upo must chuo ??? Unataka kiwe jiran na wapi nikupe direction hapo GreenCityMndali natafuta chumba bhana...ni mgeni hapa Mbeya
Soweto na ilomba huwez kosa chumba cha 50Vyumba gani?
Kwa bei hiyo hapo anapata vizur kabisa ....mitaa ya mwambeneMkushi shikamoo
Soweto ndo kuna vyumba?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


na viunga vyake ...bajaj za kwenda mitaa hiyo zipo kabwe hapo ....hukanyag vumbi hata sehem moja toka kabwe mpaka kwako.Naona kapotea tena nilitaka nimuunganishe na dogo amtafutiesoweto mitaa ya mwambene hapo kwa fwas unapata room linafikika kwa bajaj hadi mlangoni Full lami
Atarud sijui kapotelea wapiNaona kapotea tena nilitaka nimuunganishe na dogo amtafutie
SawaAtarud sijui kapotelea wapi
HiHuyo ndo binamu yetu bana anataka muwagombanishe chura na nyoka![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



binamuAnatafuta vyumba kaka akeHuko kote anatafuta vyumba tu au anatafuta na vingne

Nimewasiliana nae ila nataka kumuunganisha na mtuAnatafuta vyumba kaka ake![]()
![]()
![]()
Soweto mwambene ndo wap lakin mkushisoweto mitaa ya mwambene hapo kwa fwas unapata room linafikika kwa bajaj hadi mlangoni Full lami
Hata mm nashangaa wakati vya 30000 unapataSoweto na ilomba huwez kosa chumba cha 50
Mwanzo sikumuelewa nilijua anatafuta hotel cjuiKwa bei hiyo hapo anapata vizur kabisa ....mitaa ya mwambenena viunga vyake ...bajaj za kwenda mitaa hiyo zipo kabwe hapo ....hukanyag vumbi hata sehem moja toka kabwe mpaka kwako.

Shangazi shikamoo!Nianzie wapi eti