Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,569
Utam wwnyewe ushaumaliza huko uje unipe kazi ngumu hapana.Ukizidiwa nitakuja sasa utaweza kunibeba
Nguvu za pale mbuna hata nyumba inainuka tu ha ha haa
Utam wwnyewe ushaumaliza huko uje unipe kazi ngumu hapana.Ukizidiwa nitakuja sasa utaweza kunibeba
Kumbe,,basi alinificha alisema togwa na ulanziHuyo anaonja onja viwine
Mkuu unanitisha hilo jina ni la best friend wanguDah we acha tu, ni story ndefu mama.
Huwa najiuliza ningeumbwa kipotabo kama tumosa mbebaji wangu angekoma ata kuoga ananibeba
SawasawaBinamu atawapa akija
Sawa kungwi !!Wasalimie
Nimepote njiaKaribu sana jisike upo nyumbani
Kazi ipo leoHuwa najiuliza ningeumbwa kipotabo kama tumosa mbebaji wangu angekoma ata kuoga ananibeba

Amna usitishike Mkuu....kawaida tu.Mkuu unanitisha hilo jina ni la best friend wangu
Wala hujapotea nduguNimepote njia
Tukalale tusichelewe kanisaniWala hujapotea ndugu
Hahaha, hayo mambo yana umri mkubwa kuliko wakwanguKaa usiondke bana
Usiku mwema dada ake!!!Kesho nayo ni siku