Binamu huyu jamaa anayejiita Malcom Lumumba ana mtu watu miongoni mwa Mods! Akiona kuna post inayoelekea kuanika mambo yake ya kikubwa tu, anabonyeza kitufe tu, chwaaaa... post inafutwa ili aendelee kutuzuga na of course, kikubwa zaidi, ili asigongeshe magari! Hizi PM hizi...
Hahahaha, hapa mm ndio penyewe ,TV yetu ya kichogo ,radio one na radio maria au tumaini ndio tunasikiliza ,huko kwenu mtakua mnanihadithia
Waoneee huruma tu..Mpwa bwana nimekaa Daslam siku 5 nikaondoka lakini narudi tena tarehe 6 nakaa mpaka January. Tutakitafuta na bwana Wick na Chige...
Hahaha yule ni mtani wangu bwana...
Huwa ananitukanaga sana siku nyingine.
Mimi na mabebi wapi na wapi bwanaaaa.
Hahahaaa shikamoo Mzee wa zamani mwenye swaga za kibongo fleva
Aah sema shikamoo bwana...Mimi ni mkubwa sana kwako mzee.
Ameeen
Marahabaa Dada Vinci..Eeh bwana ahsante sanaaa. Mimi mkubwa wewe mzee wa 80' na 90' usiniamkie kweli ?
Hahahaaa!! Narudia, kule kwingine nitaendelea kukuamini kwa 100% na hata ile offer ya kunipigia kampeni bara mpaka pwani naipokea kwa mikono miwili; lakini huku... HAPANA KWA KWELI, sikuamini tena!!
Wee Mzee sasa utulie ushakula ujana vya kutosha, akina shunie tuachie Sie..
Ujue kaka chige kuna kaukweli hapa eti nimewaita mje kuona anavyobebika post imefutwaBinamu huyu jamaa anayejiita Malcom Lumumba ana mtu watu miongoni mwa Mods! Akiona kuna post inayoelekea kuanika mambo yake ya kikubwa tu, anabonyeza kitufe tu, chwaaaa... post inafutwa ili aendelee kutuzuga na of course, kikubwa zaidi, ili asigongeshe magari! Hizi PM hizi...
Hahahaha, karibu Sana, nilijua we MTU wa huko bucket kwa sanaHata mm napapenda kwa mama manka na shayo
Habari wadau, JF member ebu sema ni mkoa gani unapatikana kwa sasa .....
Muda mfupi baadaeMtwara
Mkuu Wick, tafadhali njoo utuondolee huyu mtu wako umpeleke huko jukwaa la inteneshino au akajadili makinikia manake hili jukwaa limejaa tusichana tudogotudogo kama akina Demiss na binamu yangu Shunie!Mbona mimi siyo wakishua mzee ?
Niko zangu Kagera nalima miwa tu.
HahahahahaHahaa! We jamaa sijui utapeli umeanza lini! Ndo maana nikasema hapo kabla kwamba, kuanzia sasa sikuamini hata punje:
Muda mfupi baadaeMkuu Wick, tafadhali njoo utuondolee huyu mtu wako umpeleke huko jukwaa la inteneshino au akajadili makinikia manake hili jukwaa limejaa tusichana tudogotudogo kama akina Demiss na binamu yangu Shunie!
Ni ngumu kwao kugundua hawa matapeli... unashitukia tu manyoya yapo jalalani!
Yale ni masikhara bwana, mimi sijawahi kuwa na bebi humu mtandaoni na wala siji kuwa naye!Mh anko utani gani ule umebebika kabisa
Marahaba ShunieMbona shikamoo yangu anko hautikiagi
Hahaha! Hilo la NIT mimi sijasema kwahiyo usitake kunigombanisha na mpiga kampeni wangu 2020!Hahaaaaa so anasoma NIT huyu Mzee
Unafikiri tatizo kuwa na mashamba basi... yaani saa 1 upo Mtwara na saa 1 unusu siku hiyo hiyo upo Kagera! Au unamiliki chopper yenye supersonic speed?Hahahahaha
Ukulima si kwa msimu ndugu yangu, nina mashamba mengi bwanaaaa.
Mi mbona niliiona ile post dada Shunie... ndo maana nikasema simwamini tena huyu jamaa! Sema dada Shunie na wewe unapoongea na mimi usiwe unaongea kwa mapozi namna hiyo bhana! Unanipa mtihani ujue wakati unajua kabisa wewe ni binamu yangu!Ujue kaka chige kuna kaukweli hapa eti nimewaita mje kuona anavyobebika post imefutwa