Binamu huyu jamaa anayejiita Malcom Lumumba ana mtu watu miongoni mwa Mods! Akiona kuna post inayoelekea kuanika mambo yake ya kikubwa tu, anabonyeza kitufe tu, chwaaaa... post inafutwa ili aendelee kutuzuga na of course, kikubwa zaidi, ili asigongeshe magari! Hizi PM hizi...
