MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,703
- 71,039
Kuna kipindi watu walikuwa hawalali kisa kelele za pale...Mm jamani pamenishinda pale sijui ndio ushamba wangu fujooo wakaka wa mjini na wadada ya mjini yaani vuruguuuu
Kuna kipindi watu walikuwa hawalali kisa kelele za pale...Mm jamani pamenishinda pale sijui ndio ushamba wangu fujooo wakaka wa mjini na wadada ya mjini yaani vuruguuuu
Ushahidi umefutika bwanaaa.Khaaaa anko tunakuonea jamani nawakati nimekukuta unaitwa baby na ww ukabebika jamani
Juzi bwana kuna jamaa nakaa naye jirani kamchukua manzi fulani pale Buckets. Sasa wakashindwa kulipana aisee saa nane usiku nimelala naskia yule dada anatukana matusi makubwa huku analia anasema anatafuta ada ya mtoto halafu jamaa kakataa kumlipa hela yake. Walinzi wakawa wanamtoa nje kwa nguvu.....Nilijisikia vibaya sana na kucheka tuuuh.Mm jamani pamenishinda pale sijui ndio ushamba wangu fujooo wakaka wa mjini na wadada ya mjini yaani vuruguuuu
Usiku Umelala bar Mkuu ? Hahahaha inaonekana huko buckets kuna totoz sana za kuopoaJuzi bwana kuna jamaa nakaa naye jirani kamchukua manzi fulani pale Buckets. Sasa wakashindwa kulipana aisee saa nane usiku nimelala naskia yule dada anatukana matusi makubwa huku analia anasema anatafuta ada ya mtoto halafu jamaa kakataa kumlipa hela yake. Walinzi wakawa wanamtoa nje kwa nguvu.....Nilijisikia vibaya sana na kucheka tuuuh.
Yule dogo alichukuana na huyo manzi pale Buckets akaja naye pale kitaa bwana ni jirani tu. Sasa usiku jamaa likamfukuza manzi wa watu bila kumlipa ndiyo akaanza kupiga kelele akilalamika kwa nguvu hadi sisi nyumba ya pili tukasikia......Usiku Umelala bar Mkuu ? Hahahaha inaonekana huko buckets kuna totoz sana za kuopoa
Oooh nimeelewa sasa ,unakaa mitaa hy sioYule dogo alichukuana na huyo manzi pale Buckets akaja naye pale kitaa bwana ni jirani tu. Sasa usiku jamaa likamfukuza manzi wa watu bila kumlipa ndiyo akaanza kupiga kelele akilalamika kwa nguvu hadi sisi nyumba ya pili tukasikia......
Familia yangu iko hapo.......Mimi siishi Daslamu.Oooh nimeelewa sasa ,unakaa mitaa hy sio
Mkuu nielekeze sehemu yenye kisusio please,hamu niliyo nayo siyo ya nchi hii!!Oooh huko kwa wazungu Mkuu ,acha tu nicheze na Shayo na Mkewe Mama Manka ,hapa kwa mangi kuna hadi kidaftali
Ooh ,mitaa ya kishua hyFamilia yangu iko hapo.......
Hahahaha ,Mkuu huu mtihani sasaMkuu nielekeze sehemu yenye kisusio please,hamu niliyo nayo siyo ya nchi hii!!
Kwa Manka hakuna?au kwa shayo??Hahahaha ,Mkuu huu mtihani sasa
Sasa huko mie Mzee washamba si nitatia aibu Rafiki ,na hao wa mjini tutaendana kweli ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa mama manka na kwa shayo kunatosha zaidiKwann Rafiki, mnielekeze jamani
Kuna kipindi watu walikuwa hawalali kisa kelele za pale...
Ushahidi umefutika bwanaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna MkuuKwa Manka hakuna?au kwa shayo??
Juzi bwana kuna jamaa nakaa naye jirani kamchukua manzi fulani pale Buckets. Sasa wakashindwa kulipana aisee saa nane usiku nimelala naskia yule dada anatukana matusi makubwa huku analia anasema anatafuta ada ya mtoto halafu jamaa kakataa kumlipa hela yake. Walinzi wakawa wanamtoa nje kwa nguvu.....Nilijisikia vibaya sana na kucheka tuuuh.
Kwa Manka hakuna?au kwa shayo??
Hahahaha ,Mkuu huu mtihani sasa
Hahahaha, hapa mm ndio penyewe ,TV yetu ya kichogo ,radio one na radio maria au tumaini ndio tunasikiliza ,huko kwenu mtakua mnanihadithia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa mama manka na kwa shayo kunatosha zaidi
Kila kazi na changamoto zakeKwahiyo manzi kakopwa aisee wana kazi ngumu hawa wanaojiuza
Kuna kisusio hapo mkuu?......nipe ramani please!!Hahahaha, hapa mm ndio penyewe ,TV yetu ya kichogo ,radio one na radio maria au tumaini ndio tunasikiliza ,huko kwenu mtakua mnanihadithia