Makapuku Forum

Hahahahahah aisee haya anko binamu
Mmmmh baada ya namba umehamia kwenye email tena ila uzuri jibu unalo mwenyewe
 

...hebu tuangalie na uhalisia hapa, kupata chakula fresh inatamkika poa sana (sounds great) lakini kwa dunia ya sasa uzalishaji wa nyama, mbogamboga, matunda unatumia kemikali unahitajika zaidi sababu watu tunakula sana. Hii inaifanya ardhi ishindwe kuendana na kasi yetu ya ulaji na kufanya tutumie kemikali kuzalisha vyakula, umeisikia GMO nadhani.
Mahitaji haya yanafanya nyama iandaliwe kiwandani, itunzwe kwenye majokofu ili kukuwezesha wewe unayekula karibia kilo 32 za nyama.

Nyumbani tumejaza mafriji kutunza vyakula. Anyway sijui nilitaka niandike nini
 

...kwani keki unakula kila siku? Sometimes you need to spoil yourself a little bit. Unaweza ukaamua kula sneaker bars zenye maziwa na fursana za kutosha
 

...nimekupata hapa lakini sasa nayo isiwe too much, mtu anakula mbogamboga hata ukipishana naye ustasema umepisha na bustani ya mchicha au spinach
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dadangu mnaugomvi gani kwani maana husemagi nambie leo

.....kosa lilikuwa kubwa sana, Tumosa alimuambia anko aache kurambaramba maana anawakosesha raha mabinti anko akajitetea yeye harambirambi anakula kabisa tena. Ndo hivyo ikabidi awekwe kwenye list ya wabaya wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…