Je wajua kuwa saratani ya matiti huwaathiri wanaume pia? ”Niliona uvimbe mdogo kwenye titi langu la kulia, lakini ulikuwa mdogo na haukuwa na uchungu sikudhani kuwa ulikuwa na madhara yoyote kwa afya yangu.
Lakini baada ya muda, uvimbe huo ukawa mkubwa, hali iliyonilazimu kutafuta ushauri was daktari.
Hapo ndipo nikaelezwa ninasaratani ya Matiti.
Nilishtuka sana.” Moses Musonga, 67, ni mmoja wa wanaume wanaougua saratani ya matiti
Waziri wa fedha wa Afrika Kusini Nhlanhla Nene alijiuzulu wadhifa wake hapo jana baada ya kukubali kuwa aliwahi kukutana na familia ya Gupta ambayo inakabiliwa na mashtaka ya rushwa.
Rais Cyril Ramaphosa amekubali uamuzi wa waziri huyo ili kulinda maslahi ya serikali.
Nene alikutana na wanafamilia wa Gupta katika vikao vya biashara zao nyumbani kwao ndani ya mwaka 2009 na 2014. Je hii ni njia mpya ya kufanya mambo Afrika Kusini?
Magazeti nchini Uturuki yamechapisha picha za watu 15 wanadaiwa walihusika katika kutoweka kwa mwandishi mwenye asili ya Saudia Jamal Khashoggi ambaye kwa mara ya mwisho alikwenda katika majengo ya Ubalozi wa Saudia nchini Uturuki.
Baadhi ya vipande vya picha za kamera za CCTV zinathibitisha eneo ambalo linahusika moja kwa moja na upoteaji wake.
Je rais Donald Trump wa Marekani atamsulubisha mshirika wake mkuu katika Mashariki ya Kati ama atasimamia haki Istanbul ?
Klabu ya Real Madrid imeanza kummendea mshambuliaji wa Manchester City na England Raheem Sterling, 23, baada ya mshambuliaji huyo kubakiza miaka miwili kwenye mkataba wake. (ESPN)
Arsenal na United zitakutana na ushindani kutoka Bayern Munich katika kumshawishi winga wa Lille na Ivory Coast Nicolas Pepe, 23. (Bild, via Talksport)
Arsenal na United zitakutana na ushindani kutoka Bayern Munich katika kumshawishi winga wa Lille na Ivory Coast Nicolas Pepe, 23. (Bild, via Talksport)
Watazamaji wa ligi kuu England msimu ujao kwenye mtandao wa Amazon wataweza kutazama mechi mbalimbali kwa kuchagua mtangazaji na mchambuzi mfano unaweza kuchagua wote wawe wakike. (Times - subscription required)