Makapuku Forum

Kuanzia Oktoba 9, mabasi ya abiria katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma yataanza safari saa 11 alfajiri, na serikali itakapojiridhisha na usalama, utaratibu huo utatumika mikoa mingine.

Agizo la awali halikutekelezwa kwa sababu taratibu hazikukamilika.
 
Kapata wakili mzuri tu, huku Tz angeangalia Miaka isiyopungua 30 au kifo tu ashukuru hata hiyo miaka 15.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…