Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,417
Obe njoo ulinde umesahau kazi yetu
Karibu sana...nimeshafika binamu, usijali na nimemuona SHIMBA YA BUYENZE katokelezea mitaa hii anaangalia usalama.
Nimesoma magazeti Shunie asante sana na Numbisa asante kwa tabia 10 kwa kumi, nimezipenda na umeziwasilisha vema.
makala za humu ndo sababu zinalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Ijumaa na wikend njema
itakuwa nimefananisha!.Jamani
Si wewe apo
hapana chura atarukaruka sana!..Hahhahahah
Sasa dera ndio zuri
Shikamooo shemela
upo poa wewe!?Shikamooo shemela
Nko poa sijui weyeupo poa wewe!?
shemeji mzima!?Nko poa sijui weye
@mkuu mzimaShikamooo
Kwani hujaifungua bado
Ni mzima sanashemeji mzima!?
safi, sasa hakikisha moto hauzimi mpaka aje huyu bibi akoo!..Ni mzima sana
@shunie mzima wewe.Jamani
Si wewe apo
@shunie mzima wewe.
safi, sasa hakikisha moto hauzimi mpaka aje huyu bibi akoo!..