Uliuona huu ujumbe lakini Shunie ?Mrs info in the house
Tumsaidie mwenzetu jamaniKwema wadau ?
Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu - JamiiForums
Huyu dada ni miongoni mwa wadau wa huu uzi wa mwanzo mwabzo
Kwa bahati mbaya kapatwa na masahibu ya kiafya kiasi cha kuanzisha uzi kuomba msaada....inasikitisha
Wakuu km kuna mtu anaweza kumsaisia amsaidie jamani matatizo hayana mwenyewe maishani huwa yanahamahama tu
Natanguliza shukrani
Sasa unaniambia mimi niandamane au ??eti binti
Mm ndio naingia hapa jf nina masiku kadhaa mkuu wanguUliuona huu ujumbe lakini Shunie ?
Tumsaidie mwenzetu jamani
NaniKama unabisha jamani
Take it easy, km ni kweli unaona hivyo,so hata ya kuwa kwa Shayo ni kweli? au kula ugimbi daily ni kweli?Basi sawa naonaga reaction yako
Kiongozi hili zoezi nimelitekeleza kwa ufanisi,na Nina tegemea wiki ijayo kutekeleza tena ,tukumbushane zaidi na tumuombee mwenzetuUliuona huu ujumbe lakini Shunie ?
Tumsaidie mwenzetu jamani
Hadi mtu kaandika uzi ujue amekabwa na shida siriazi kweliMm ndio naingia hapa jf nina masiku kadhaa mkuu wangu
Hahahaha ,wewe tuMe siyo mdau wa kojo
Nani
Hadi mtu kaandika uzi ujue amekabwa na shida siriazi kweli
Inasikitisha
Ubarikiwe sana mkuuKiongozi hili zoezi nimelitekeleza kwa ufanisi,na Nina tegemea wiki ijayo kutekeleza tena ,tukumbushane zaidi na tumuombee mwenzetu
Usijari Mkuu utafanikiwa na utatekeleza ,mm nilikua mbali mno lkn ujumbe wako na mkuu mwingine ulinigusa,ikabidi nipige simu Dar kwa MTU afanye hivi ilivyofanyikaUbarikiwe sana mkuu
Binafsi week hii nipo hoi mifukoninatafuta hata pakukopa ili nami nimsaidie
Kwa muda huu nasaidia kuhimiza team nzima ya Makapuku imsaidie huyo mwenzetu
Ubarikiwe sana mkuu
Binafsi week hii nipo hoi mifukoni natafuta hata pakukopa ili nami nimsaidie
Kwa muda huu nasaidia kuhimiza team nzima ya Makapuku imsaidie huyo mwenzetu
Ushafika wewe, kutunukisha uvundo wenzio.Usiku wa kukojoaaaaaaaaaa
Jamani Shunie, mzima wewe! Nakumiss sanaaaa, habari za majukumu.Anko wangu Malcom Lumumba naona uwepo wako kwa mbali jamani nakusalimia tu mm
Shunie akee!!Maka akee shunie
Vzr sana,itapendeza zaidi na makapuku wengine wakaungana ktk hiliNimeshamsaidia chochote nilichonacho Mungu amfanyie wepesi na kumponya kwa magonjwa aliyokuwa nayo
Bwege mtozeni huyo.Ukijiua hasara kwa naniiii sana sana utawaachia wanaume wenzio waendelee kumkula mkeoView attachment 864439
Achuchumae kwa juu wakati umelala chali π π πMimi bitakuwa nimelala chali halafu ndiyo utafanya hivyo mbona una hofu