Makapuku Forum

Makapuku Forum

...unaenda wapi? Basi umegeuza mgongo tu, toba anko wangu Lyon Lee akasoma namba, bora ungekaa kidogo labda angenisimulia mambo ya mapokezi
Anko binamu mbona unaletaa fyokofyokooo mda huu au kisa jana cheusi wako asha alikutwa na jamaa wako wa mtaa wa pili
 
...acha tu anko, haya maisha kama yangekuwa yanauzwa ningemuuzia hata makaveli10 anipe hela.

Nimechiwa kwa kuachika anko, hii dunia kumbe kubwa sana aisee.

Ujue wewe ni mtaalamu wa kupata ukikosa baharini hata kwenye tope unamvua kambale
Anko nishapataa info zote za kuachika....

Mimi kawaida unanijua fika kila mita mia ni step
 
....duh, yaani uko kama upupu mjomba, unawasha hata bila kukosewa, huyu si mgeni jamani hata hajatambulishwa hajanijua hata mimi au mtaasisi Nyagei ushamwaga undambwindambwi maaninah wallah
Changu changu chako changu anko binamu sasa unaonaa nongwaa mm kumkaribisha mrembo wangu huyu make mm ndo mwenyejiii ...

Na muhimu mpigie ney wako akwambia alichoambiwa na msukuma wako
 
...anko una muda tutete kidogo? yaani leo ninajihisi kuwa na maneno matamu isivyo kawaida, nimelamba sukari nadhani. Kama umelamba chumvi/limau basi sema kwa nguvu kabisa kuwa huna muda
muda upo binamu wewe tuu
 
Hapa sio kuzibiana ridhik alafu kesho niitwe mkuu?

...jinga sana weweumenifanya nimecheka hadi binti wa mwenye nyuma (kigori kimeiva na kimemaliza STD seven)
anko wakati unaandika ulikuwa unakula nini?
giphy.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom