Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20180909-073903.jpg
 
TUOMBE:

Baba Asante kutuamsha salama tukiwa wazima siku ya leo

Tunaomba Toba mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe

Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.

Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .

Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen

JUMATATU NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom