Makapuku Forum

Makapuku Forum

Present!...
Uko Mnyantuzu wa wapi mkuu? Karibu na Bariadi hapo ama? Sima, Majahida, Mahaha, Kilulu, Bunamhala, Sanungu, Somanda, Kidinda, Mbiti, Ibulyu, Lugulu, Nyamalapa, Ikungwilipu au wapi? Yote mitaa yangu hiyo. Itabidi umlete shemeji wakati wa mbina aje tumwonyeshe utamaduni hasa wa Kinyantuzu
 
TUOMBE:

Baba Asante kutuamsha salama tukiwa wazima siku ya leo

.Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.

Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.
Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.

Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen

JUMAPILI NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
 
.
Screenshot_20180909-072334.jpeg
Screenshot_20180909-072351.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom