Mhhh kwakweli hakuna namnaTupambane na hali yetu ndugu
Naam...kwa hakika natumia,.ww je?!Na wewe unakunywa maji ya gold ehee!!??
Padre kibokoPichani ni Albert Einstein (kulia) akiwa na Georges Lemaitre ambaye alikuwa ni padre, mwanafalaki, na profesa wa fizikia kutoka Ubelgiji, ambaye yeye ndiye alikuwa mwanasayansi wa kwanza kugundua kwamba ulimwengu haukuumbwa bali ni matokeo ya mlipuko mkubwa uliotokea miaka bilioni 13 iliyopita na kwa sasa bado ulimwengu unaendelea kutanuka huku ukiwa unapoa.
Jambo ambalo linawashangaza wengi ni kwamba padre kuja na ugunduzi kama huo ambao unapinga kwamba ulimwengu uliumbwa.View attachment 859217
Nakusalimia sana ...hivi ulisoma jana?Naam...kwa hakika natumia,.ww je?!
Nipe direction nikija,mjini unipelekee kwa mcute
Ooh miss too.
Unajifanyaaa kumsahau ....sema nimekumis ujueeeMcute gani huyo tena
Kwani hapo hujaleewa nini sasa?Nikilewa beer zangu nitarudia kusoma ili nijue umemaanisha nini
Aah,wapi niliishia kwenye heading tuu,.mambo yakiwa marefu-refu yananchosha mm siku hizi😢Nakusalimia sana ...hivi ulisoma jana?
He he hivi kumbe namisikaga asante bwana mm nipo ooh hajambo best yanguUnajifanyaaa kumsahau ....sema nimekumis ujueee
Mcute jirani
Kuna mtu naona anapita na kutozoom tuu..
Kwani hapo hujaleewa nini sasa?
Ujue nilicheka sana make na mm nilikutana na heading nikacomentAah,wapi niliishia kwenye heading tuu,.mambo yakiwa marefu-refu yananchosha mm siku hizi
Aah,wapi niliishia kwenye heading tuu,.mambo yakiwa marefu-refu yananchosha mm siku hizi
He he hivi kumbe namisikaga asante bwana mm nipo ooh hajambo best yangu