Makapuku Forum

Makapuku Forum

Eenh mana shangazi yupo na msketi wake mrefu na kiremba kichwani ABJ sitaki mm
giphy.gif
 
[emoji524]"Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu."

Methali 3: 24

Mungu awatunze usiku huu,Malaika walinzi waweke kituo kila nyumba,Damu Takatifu ya Yesu Kristo itufunike
Usiku Mwema[emoji257][emoji257][emoji257]
 
Back
Top Bottom