Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan nahisigi nilivyozaliwa tu nilionyeshwa mahela
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakuaminia si ulizaliwa benk eeeh
 
Hiyo boha inakuwa kama togwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninge mm togwa sijui taste yake sababu siipendi tu jamani

Boha ni hii hapo kwenye mashine inatengenezwa ndio miwa inakamauliwa halafu inalazwa kuwa pombe wanajuwa wenyewe wanavyotengeneza
20180830_212509.jpeg
20180830_212750.jpeg
 
Back
Top Bottom