Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Hahahaha wewe unafungua ikifika weekend eehNinge sasa hivi nimeshafungulia


Nimecheka kwa sauti ulivyoshtuka woiiiiiii
Ubarikiwe sana shunieHapana ninge jamani nimeanza leo mpaka alhamisi ijayo
Duniani si wawili wawili shunie,au umesahau hilo hahahMbona hiyo picha sio ngeni sijui ya mtu gani maarufu
Eeeh! Naona na wewe unataka Halua..Biashara matangazo eeeh

Kama bomba la maji likibinywa pale pa kutokea maji..Kwahiyo nitamwaga mimaji eenh T

.
Ameen ninge tubarikiwe sote

Mh ujikute tu ujianike jf mpaka sura mm nakataa
Kama bomba la maji likibinywa pale pa kutokea maji...