Makapuku Forum

Makapuku Forum

"Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu."

Methali 3: 24

Mungu awatunze usiku huu,Malaika walinzi waweke kituo kila nyumba,Damu Takatifu ya Yesu Kristo itufunike
Usiku Mwema
 
Fuurahiday njema wadau wa jukwaa hili adhimu. Niko poa na upande wangu hakuna jipya lada tu niwaulize nyie kama kuna Jipya.

Slim5 usishangae aunt yangu kunitag nisome Je Wajua na News za Kusisimua Nyingine, sababu moja kubwa ni kuwa huwa nakuwa wa mwisho kuelewa so anajitahidi nisibaki nyuma sana, niende sawa na Makapuku wengine.

Shunie niseme mara ngapi asante kwa Je Wajua na mabandiko mengine ya kuburudisha na kuelimisha, sikujua sababu ya huyu mchoma viumbua kila siku kung'ang'ania kulala karibu na kwapa langu akijua kabisa mambo ya deodorant kwangu si ya msingi na kibaridi hiki kuoga ni lazima nijipange. Asante na asante zaidi.
SAFI SANA MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom