Mmeamkaje makapuku wenzangu..?
Anti ake hizo kises daaaah! (in divathebowse voice)
TUOMBE:Baba Asante kutuamsha salama tukiwa wazima leo Alhamisi tarehe 10 Agosti 2018.Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.
Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.
Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen
ALHAMISI NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
Ukiwaka tu hauzumi unakua kama slogan ya wasafi tv #TumewashaNdio nataka uwake motooo
Asante mke mweee barikiwaAmka na magazeti binamu Obe ukuje binamuView attachment 831589View attachment 831590View attachment 831591View attachment 831592View attachment 831593View attachment 831594View attachment 831595View attachment 831596View attachment 831597View attachment 831598View attachment 831600View attachment 831601View attachment 831602View attachment 831603
Asante mke mweee barikiwa
Asante slim5,uwe na wkend njemaMimi naomba niwasalimie humu na niwatakie asubuhi njema, ijumaa njema!
ahsante sana. na wewe piaAsante slim5,uwe na wkend njema
duuh! ahsante sana. siku yangu itakuwa muruaJe wajua? au unataka nikujuze zaidi ebu kuwa na mm shunie shunie View attachment 831618View attachment 831619View attachment 831621View attachment 831623View attachment 831624View attachment 831626View attachment 831627View attachment 831628View attachment 831629View attachment 831635View attachment 831636View attachment 831637View attachment 831638View attachment 831639