Makapuku Forum

moudgulf asante mdau kwa utalii wa picha. Tumosa neno limependeza

Nawasalimia wadau wote na niseme tu nawafurahia sana.
Kuna jipya?



BTW, kutokana na sababu zilzo ndani ya uwezo wangu sitaweza kuweka muziki na tafasiri unavyoweza, najiandaa kuita waandishi wa habari nitangaze jambo kubwa. Tega sikio na kama huna sikio tega jicho
 
...hizo salamu baki nazo maana nami nilisema ufikishiwe ikaonekana hauko hewani nikajua ile ishu yako ya kuacha biashara zako zinazokuingizia mamilioni unazipiga chini ukawe dereva wa mkuu wa wilaya
Wewe mpaka nimemkumbuka mganga wetu changanya na chetiii chamgu cha psv mbona nakuwa duraiiiivaaaaa.....
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…