Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu ndo huwa mnapika hivi?
Obe
FB_IMG_1532524087664.jpg
FB_IMG_1532524080324.jpg
FB_IMG_1532524094471.jpg
FB_IMG_1532524071883.jpg
 
SHIKAMOO

shukurani hutoka kwa mtu alieridhika na alicho patiwa iwe kitu au maelezo

Lawama hutoa mtu alie feli kufanikisha jambo kwa uzembe wake mwenyewe


Kuelewa huelewa mtu alie makini kusikiliza na kuyatafakari aliyo sikiliza

Kushindwa ni dalili za kufanya unajua kumbe hujui


Kuheshimu hutokana makuzi uliyo pewa nyumbani toka ukiwa mdogo

Dharau humkaa mtu mwenye makuzi mabovu aliyo yapata nyumbani kwao toka mdogo

Kufanikiwa bi moja ya hatua ya utulivu na uvumilivu wa kila jambo unalo lipitia

Kushiba ni dalili ya ufanisi wako kimaisha

Kulala njaa ni ujinga ulio jivisha mwenyewe

Niwatakie jioni njema makapuku wenzangu

Shunie
Tumosa
Obe
Da'vinci
Shululu
Nyagei
Dingi mtoto
Mzee wa kungoa
Mbalizi1
Archduke
Sakayo

Na wengine wengi ambao sijawakumbuka kwa majina

Mungu awabariki

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom