Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Ila asikae mda mrefu maana kwenye choir hiziHahaaa
BORA ASHINDE KANISANI TU
Ila asikae mda mrefu maana kwenye choir hiziHahaaa
BORA ASHINDE KANISANI TU
Nipo kwenye ndoa mwaka wa kumi sasaItakuwa alikuwa honemoon huyo.
Kumbe alifunga ndoa??Itakuwa alikuwa honemoon huyo.
Yaani anaweza Pata muimba choir mwenzakeIla asikae mda mrefu maana kwenye choir hizi
zitahusik
Pole sana madam.Nakesha nikitafuta ajira wangu, life tight, ndio maana sionekani![]()
Yaani anaweza Pata muimba choir mwenzake
Hapazitahusik
shemeji unasema
utaweza kweliNzuri tu wifi habari ya kazi?Habar ya jion wapendwa??
Sijasema mimi hivyo.Kumbe alifunga ndoa??
Kaz ni poa myNzuri tu wifi habari ya kazi?
huo kidogo mkanidondoshee likes
Nimepata mzuka na hili neno.Evening walk inafaa sana
Nakusubiri my love!Usijali Leo tunafika wote pale mpenzi wangu
Inaitwa supu style
Nipitieni twende wote.Hadi daraja LA Nyerere au sio baby
SidaiwiEU migrant crisis: Sweden may reject 80,000 asylum claims - BBC News
Wakuu mpite na kwenye uzi![]()
huo kidogo mkanidondoshee likes
Huyo jamaa anatisha.Mdokozi-Mwizi-Jambazi-...........Gaidi (huyu huiba hata uhai wa mtu na hata huweza kujiiba uhai wake mwenyewe)
Mdokozi- hana silaha
Mwizi- silaha yake sana sana ni mbio tuu
Jambaz- silaha ni hata bunduki n.k
Gaidi- silaha hasa ni bom la aina yyte
Huyo jamaa yupo kwenye level ya ugaid , mpaka bomu analo!!!