Makapuku Forum

Makapuku Forum

67927f8b4c23c7310b2fbe5f73e8d3e0.jpg

New fashion

..................
 
Mdokozi-Mwizi-Jambazi-...........Gaidi (huyu huiba hata uhai wa mtu na hata huweza kujiiba uhai wake mwenyewe)

Mdokozi- hana silaha
Mwizi- silaha yake sana sana ni mbio tuu
Jambaz- silaha ni hata bunduki n.k
Gaidi- silaha hasa ni bom la aina yyte

Huyo jamaa yupo kwenye level ya ugaid , mpaka bomu analo!!!
Huyo jamaa anatisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom