Makapuku Forum

Makapuku Forum

0cd5101f5dfeea8c46272ce72189c775.jpg

Huyu mwizi au Al Shabaab ?
...........
Huyo atakuwa Al Shabaab tu.
 
Huyo atakuwa Al Shabaab tu.
Mdokozi-Mwizi-Jambazi-...........Gaidi (huyu huiba hata uhai wa mtu na hata huweza kujiiba uhai wake mwenyewe)

Mdokozi- hana silaha
Mwizi- silaha yake sana sana ni mbio tuu
Jambaz- silaha ni hata bunduki n.k
Gaidi- silaha hasa ni bom la aina yyte

Huyo jamaa yupo kwenye level ya ugaid , mpaka bomu analo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom