Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Khaaaaa upoje wewe acha apange vikapu tu vya sadaka
Ndio atakuwa anahesabu na kutunza vikapu
Ndio atakuwa anahesabu na kutunza vikapu
Mamaa kigooo
Afanye mazoezi ya kutabasamumama mchungaji bwana
Apange tu vikapuKhaaaaa upoje wewe acha apange vikapu tu vya sadaka

Ww ni mama mchungaji ujueMamaa kigooo
KwannMana nimeshindwa kukuelewa kabisa![]()
Apange tu vikapu![]()
![]()
![]()
![]()
Kwann
Ndiwoooo
Apange tu vikapu na kutoa mahela haruhusiwi kuhesabu
utahesabu mwenyeweAaah me cjuiSi kuhusu kutofautisha shemasi na mzee wa kanisa
Nitahesabu mwenyewe jamani zikitokea lawama nawajibika mwenyewe![]()
![]()
![]()
![]()
utahesabu mwenyewe
Aaah me cjui
Binamu asante jamani naipendaga hii nyimbo haiishi hamuMuziki: Zamani Sio Jana
Mimekaa hapa, nimeshiba tu kama ulikuwa unataka kujua hali yangu, nimekula na sasa ninakunywa huku ninakukumbuka wewe kapuku na bila uchoyo nakukaribisha nawe ule na kunywa kwa hela yako, ndo upendo ulivyo, tunakaribishana na kisha ninakusalimia na kukueleza ni nanmna gani ninafurahia kukuona hapa.
Ni wikend ndo imeanza, kila mtu na style yake, kwa wale tunaofuatilia mwezi basi ndo juma la kuelekea mwisho kabisa tunaenda kulianza na hapa ndo kuanza kujiuliza lile jungu ulilovunja, viapnde ulivitunza au ulivitupa.
Muziki sasa, ni zamani kidogo jana ila sio juzi ikafikia wakati ukaanza kujiuliza mbona naweka nyimbo za kizee. Furahia wikend yako. Tukutane Jumatatu ikimpendeza Yeye aliyetuchana midomo na kutupa pumzi
Ama upo siriaz mdogo wa mama mchungajiUbunifu kafanye ukooo sio kanisani
