AnaendeleajeAsante mke mwee
...oh, yaani mmmh, hebu niulize. Sijasema natoa hela, nimesema ninakupa offer ya kujinunulia kinywaji. Yaani maana yake, kwa kuwa unakunywa wewe asi hakuna ubaya kujinunulia kwa hela yako.
Nilitegemea uniambie " asante Obe, nimejinunulia kinywaji nachopenda" hapa hata maswali yangepungua, ningekupongeza tena
Ndio kaja na hbr za ktumbuaSi ulisema unamsubiri binamu akuje
...hivi hivi tu ambavyo haviwekwi kwenye karatasi za foil. Au wewe unakijua kitumbua gani?
Usiniambie kitumbua kile kinachotengenezwa kwa unga wa ngano
ajinunulie aache ubahili
Pole binamu kwa kuwa na maboss wenye visiran...itakuwa wikend labda, kuniona itakuwa shida wikend maana natumiaga simu ya ofisi (ni smartphone) ikifika Ijumaa naambiwa niiache ofisini. Kuna mabosi wana roho za ajabu sana
Ndio kaja na hbr za ktumbua
Pole binamu kwa kuwa na maboss wenye visiran
...itakuwa wikend labda, kuniona itakuwa shida wikend maana natumiaga simu ya ofisi (ni smartphone) ikifika Ijumaa naambiwa niiache ofisini. Kuna mabosi wana roho za ajabu sana
Me ntakunywa ya bombani...asante, na wewe umenifurahisha jiagizie maji makubwa ya Uhai unywe kwa hela yako
...eeh, yaani asiyependa kitumbua namshangaa, maana hadi vitumbua vinapendana vyenyewe kwa vyenyewe
Huwezi kuwa nacho..asante binamu, mniombee tu nami nisiwe na kisirani
Hajambo jambo kuna mda alikuwepo mmuAnaendeleaje
Hajambo jambo kuna mda alikuwepo mmu
Nikipewa offer anayetakiwa kulipa ni mtoa offer sijinunulii mmajinunulie aache ubahili