Makapuku Forum

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ajinunulie aache ubahili
 
...hivi hivi tu ambavyo haviwekwi kwenye karatasi za foil. Au wewe unakijua kitumbua gani?

Usiniambie kitumbua kile kinachotengenezwa kwa unga wa ngano
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Me ckijui
 
...itakuwa wikend labda, kuniona itakuwa shida wikend maana natumiaga simu ya ofisi (ni smartphone) ikifika Ijumaa naambiwa niiache ofisini. Kuna mabosi wana roho za ajabu sana
Pole binamu kwa kuwa na maboss wenye visiran
 
Mh
...itakuwa wikend labda, kuniona itakuwa shida wikend maana natumiaga simu ya ofisi (ni smartphone) ikifika Ijumaa naambiwa niiache ofisini. Kuna mabosi wana roho za ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…