Shem " hzo comment sijazi post mie " mkuu"" account yangu ilikuwa hacked ..so " tuache tu mi na mdogo wako "" maana tumeshapendana "" na tunamalengo chanya kwaajili ya ustawi wa maisha Yetu "" tafadhali sana bwana shemeji ""....Yule sio mke wako wala huna hadhi ya kumiliki mtoto mrembo kama huyo
Hasa huyu dada yangu wewe ukihitaji sana unaweza kuwa mpenzi mtazamaji tu
aiseeeee...shemeji " shikamoo""Kwetu hakuna mbege kuna kimpumu na kihambule
Na muda huu niko Malawi napiga kachasa
Huko kwenu mnasema gongo
Nimesha mwambia ajikague viungo vyakeSawasawa kaka
Kwani kutembea bila shati sio uchi mkuu?Ooooh
brother sory"" Shem " account yangu ilikuwa hacked ..ndio nimetoka kui unlock muda huu"" so hizo comment zote zinazo wasilishwa na I'd yngu "" sijazi comment mid " ni hackers hao walikuwa wanajaribu kutugombanisha"" pole kwa usumbufu aisee...
Ujeuri ulisomea wapi?Shem " hzo comment sijazi post mie " mkuu"" account yangu ilikuwa hacked ..so " tuache tu mi na mdogo wako "" maana tumeshapendana "" na tunamalengo chanya kwaajili ya ustawi wa maisha Yetu "" tafadhali sana bwana shemeji ""....
daaahh Hawa hackers nao " ona sasa wanataka kutia kitumbua changu mchanga ""
Sipokei shikamoo za wahuniaiseeeee...shemeji " shikamoo""
Pande hizi tuko kama mwenye miliki yake amependa tuwe habari ya itokako?Habari zenu wana familia?
hahaaaa shemeji huo utakuwa uonevu sasa "" kosa langu mie nini wakati "" acc yangu ilikuwa ipo hackedUjeuri ulisomea wapi?
Mi nimepita huko kote nanitakushughulikia kama kama nilivyo panga ngoja aje
Nyapu???????Nyapu zipo humu
Ndio mkuuNyapu???????
ha hahaaa...aisee"" shemeji nitajie namba yko nikutumie muamala"" nasikia umekwama mazao yamekosa pembejeo ""Sipokei shikamoo za wahuni
Salama mkuuPande hizi tuko kama mwenye miliki yake amependa tuwe habari ya itokako?
Wewe huwezi kuwa shemeji maana naona hufanyi kazi unataka upate hela ya ukuwadi wakati unajua ni kosa kukuwadiahahaaaa shemeji huo utakuwa uonevu sasa "" kosa langu mie nini wakati "" acc yangu ilikuwa ipo hacked
Fafanua kidogo hilo nenoNdio mkuu
Mdomo wangu umebaki wazi kama wa ushimenNyapu zipo humu
brother sory"" Shem " account yangu ilikuwa hacked ..ndio nimetoka kui unlock muda huu"" so hizo comment zote zinazo wasilishwa na I'd yngu "" sijazi comment mid " ni hackers hao walikuwa wanajaribu kutugombanisha"" pole kwa usumbufu aisee...