Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,050
Wakuu habari zenu.
AbeeeeTumosa
haina " noma..nimeshawasili"" ...ila Watoto Wazuri wapo ""?
WoyooooooooooooWakuu habari zenu.
Khaaaa uko unawaza watoto wazuri tuhaina " noma..nimeshawasili"" ...ila Watoto Wazuri wapo ""?
MakinikiaShikamoo binamu akutag ili ugundue nn
Na ww hvohvoMfyuuuuuuuuuu
..watoto wazuri wapo na jela zipo pia. labda kama sijui watoto wazuri unamaanisha nini?




anamaanisha wabebezAhaha,nimerudi nyumbani kusalimia.Woyoooooooooooo
Karibu sana mkuu jickie upo nyumbani wote unaowaona ni ndgu zakomkuu" asante sana...namimi mni hesabu rasmi kuwa ni kapuku..tena mie ni OG...Mchana sijala..hata huu usiku sinauhakika pia...na taka kushushia grass ya Maji hapa...nishushe net "" nilale ""
Niko poa sana young habari ya wewe karibu sana tumekuhamu tuAhaha,nimerudi nyumbani kusalimia.
Mzima wewe.
Aunt yko cio mtu mzuri...hata najua basi, wagunduzi wote walishakufa zamani. me wanaitag tu maana sitaki kugundua chochote
Mimi pia nimewahamu sana kwakweli.Niko poa sana young habari ya wewe karibu sana tumekuhamu tu

Ila binamu yako ndio mtu mzuri eenhAunt yko cio mtu mzuri
Unaendleaje kaka ake