Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Juma La Ramadhani

Tumeianza Jumatatu hii na nikusalimia Kapuku mwenzangu na kukukupa hongera kwa kuimaliza wikend, haijalishi ilikuwaje kikubwa tu ni kuwa upo hapa na kama kawaida, ni jambo zuri kukuona hapa maana Jukwaa hili lafaa nini usipokuwepo?

Nilikuwa na wakati mzuri na hasa mambo ya Simba- the Champs- This is Simba bhana kwa hiyo roho ilikuwa imetulia kabisa na mwili ukawa na shauku zaidi ya kutaka stahili yake.

Muziki sasa, leo tunaenda taratibu tu bila fujo, furahia muziki maana muziki ni burdani

 
Muziki: Juma La Ramadhani

Tumeianza Jumatatu hii na nikusalimia Kapuku mwenzangu na kukukupa hongera kwa kuimaliza wikend, haijalishi ilikuwaje kikubwa tu ni kuwa upo hapa na kama kawaida, ni jambo zuri kukuona hapa maana Jukwaa hili lafaa nini usipokuwepo?

Nilikuwa na wakati mzuri na hasa mambo ya Simba- the Champs- This is Simba bhana kwa hiyo roho ilikuwa imetulia kabisa na mwili ukawa na shauku zaidi ya kutaka stahili yake.

Muziki sasa, leo tunaenda taratibu tu bila fujo, furahia muziki maana muziki ni burdani

Asante sana binamu yangu
 
Machache kwenye Historia Leo

Tarehe na mwezi kama wa leo, mwaka 1991 Winnie M. Mandela alihukumiwa miaka sita kwa makosa ya utekaji, utesaji vijana wanne ana kijana mmoja alifariki. winnie ni nguzo ya harakati za ukombozi SA na pia nembo ya mwanamke shujaa mpambanaji wa haki za raia.

skynews-winnie-madikizela-mandela_4271542.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom