Makapuku Forum

Mkuu wakati mwingine pia usisahau kuwa neno la Mungu limehakikishwa usiongeze wala kupunguza!
Mhubiri 4:13
Heri kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hujui tena kupokea maonyo...sijaongeza wala kupunguza. Je wajua maana ya kupunguza/kuongeza?
 
Mhubiri 4:13
Heri kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hujui tena kupokea maonyo...sijaongeza wala kupunguza. Je wajua maana ya kupunguza/kuongeza?
Umechapia kwenye uandishi ndo nlicholenga, alafu ukataka kukomaa na kuchapia kwa bitoz. Japo ukitoa maana ya kupunguza/kuongeza kwa manufaa ya makapuku si mbaya pia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…