Makapuku Forum

Usinione nimekonda, ewe tuma, hakuna mwingine mama ila ni wewe tuma..

R i.p moshi hakika yule mzee alikuwa nux kwa utunzi na uimbaji. Tangu kufa kwake na mziki ukafa pia.
 
Walinikosha zaidi kurekokodia kigamboni...
 
Uzwazwa ukiongezeka juu ya upopoma huwa ni tabu mnooo
 
Usinione nimekonda, ewe tuma, hakuna mwingine mama ila ni wewe tuma..

R i.p moshi hakika yule mzee alikuwa nux kwa utunzi na uimbaji. Tangu kufa kwake na mziki ukafa pia.


...yeah, muziki muziki kweli. Huwa nafurahishwa na huyu mbabu mpiga gitaa, nilikuwa naenda viwanja vya leaders angalau kupata burudani ya muziki halisi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…